Job 20:12-14


12 a“Ingawa uovu ni mtamu kinywani mwake
naye huuficha chini ya ulimi wake,

13 bingawa hawezi kukubali kuuachia uende,
lakini huuweka kinywani mwake.

14 c dHata hivyo chakula chake kitakuwa kichungu tumboni mwake,
nacho kitakuwa sumu kali ya nyoka ndani yake.
Copyright information for SwhKC